Sunday, 27 December 2009
Kampeni ya chelsea yaanza kwa moto
chelsea wametangaza kuanza kwa kampeni iitwayo "michezo kwa wote,walieleza" ya kuwa kampeni hii itakayokuwa ikizifanya timu ndogo na mpya katika premia ligi kujisikia nyumabni kwa kutowa nao draw,west ham na birmingam,msemaji mkuu wa chelsea alisema timu kubwa zikija tutadhiadhibu vilivyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment